2 Wakorintho 11:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 nami nikateremshwa ndani ya kapu, katika dirisha la ukutani, nikaokoka katika mikono yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Lakini niliteremshwa kwa kapu kubwa kupitia dirisha ukutani, nikaokolewa kutoka mkononi mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Lakini nilishushwa kwa kapu kubwa kupitia katika dirisha ukutani, nikatoroka kutoka mikononi mwake. Tazama sura |