Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 11:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 nami nikateremshwa ndani ya kapu, katika dirisha la ukutani, nikaokoka katika mikono yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini niliteremshwa kwa kapu kubwa kupitia dirisha ukutani, nikaokolewa kutoka mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini nilishushwa kwa kapu kubwa kupitia katika dirisha ukutani, nikatoroka kutoka mikononi mwake.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 11:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nafsi yetu imeokoka kama ndege Katika mtego wa wawindaji, Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.


Wanafunzi wake wakamtwaa usiku wakamshusha ukutani, wakimteremsha katika kapu.


Angalia, tutakapoingia katika nchi hii, funga kamba hii nyekundu katika dirisha hili ulilotuteremshia; nawe uwakusanye kwako nyumbani mwako, baba yako, na mama yako, na ndugu zako, na watu wote wa nyumba ya baba yako.


Basi Mikali akamteremsha Daudi dirishani; naye akaenda akakimbia na kuokoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo