2 Wakorintho 11:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Mungu, Baba wa Bwana Yesu, aliye mtukufu hata milele, anajua ya kuwa sisemi uongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu – jina lake litukuzwe milele – yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu – jina lake litukuzwe milele – yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu — jina lake litukuzwe milele — yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Mungu na Baba wa Bwana wetu Isa, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Mungu na Baba wa Bwana Isa, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. Tazama sura |