Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 11:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Na kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna ujuzi. Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga.


Ninayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wanaojiita mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo;


Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo