2 Wakorintho 11:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kwa sababu wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa kuwa wengi wanajisifu kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami nitajisifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa kuwa wengi wanajisifu kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami nitajisifu. Tazama sura |