2 Wakorintho 11:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wala hii si ajabu, kwa kuwa hata Shetani mwenyewe hujigeuza aonekane kama malaika wa nuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wala hii si ajabu, kwa kuwa hata Shetani mwenyewe hujigeuza aonekane kama malaika wa nuru. Tazama sura |