2 Wakorintho 1:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Lakini mimi namwita Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijafika Korintho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Mungu ndiye shahidi wangu; yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho kwa sababu tu ya kuwahurumieni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Mungu ndiye shahidi wangu; yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho kwa sababu tu ya kuwahurumieni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Mungu ndiye shahidi wangu; yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho kwa sababu tu ya kuwahurumieni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Namwita Mungu awe shahidi wangu kwamba sikurudi Korintho kwa sababu niliwahurumia ninyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho. Tazama sura |