Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Nami nikiwa na tumaini hilo nilitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 1:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara;


Nami najua ya kuwa nikija kwenu nitakuja kwa utimilifu wa baraka ya Kristo.


mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake; msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliyosalia nikija nitayatengeneza.


Maana sipendi kuonana nanyi sasa, katika kupita tu, kwa sababu natarajia kukaa kwenu muda kidogo, Bwana akinijalia.


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Tazama, hii ni mara ya tatu ya mimi kuwa tayari kuja kwenu, wala sitawalemea. Maana sivitafuti vitu vyenu, bali nawatafuta ninyi; maana haiwapasi watoto kuweka akiba kwa wazazi, bali wazazi kwa watoto.


Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo