2 Wakorintho 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Nami nikiwa na tumaini hilo nilitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili. Tazama sura |