Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 9:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Basi Yehu akapanda gari lake kwenda Yezreeli; kwa maana Yoramu alikuwa amelala huko; na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka ili kumtazama Yoramu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Ndipo akapanda gari lake na kuelekea Yezreeli. Yoramu alikuwa bado hajapona, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa amemtembelea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Ndipo akapanda gari lake na kuelekea Yezreeli. Yoramu alikuwa bado hajapona, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa amemtembelea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Ndipo akapanda gari lake na kuelekea Yezreeli. Yoramu alikuwa bado hajapona, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa amemtembelea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Ndipo Yehu akaingia katika gari lake la vita na kuendesha kwenda Yezreeli, kwa sababu Yoramu alikuwa amepumzika huko, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa ameenda kumwona.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Ndipo Yehu akaingia katika gari lake la vita na kuendesha kwenda Yezreeli, kwa sababu Yoramu alikuwa amepumzika huko, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa ameenda kumwona.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 9:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mlinzi alikuwa anasimama juu ya mnara wa Yezreeli, akaliona lile kundi la watu wa Yehu, alipokuwa akija, akasema, Naona kundi la watu. Yoramu akasema, Haya! Mtwae mpanda farasi mmoja, ukampeleke aende kuwalaki, na kuwauliza, Je! Ni amani?


Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo