Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 6:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwita Gehazi, akasema, Mwite yule Mshunami. Basi akamwita. Na alipofika kwake, Elisha akasema, Haya! Mchukue mwanao.


Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Nenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.


Mtu wa Mungu akasema, Kilianguka wapi? Akamwonesha mahali. Akakata kijiti, akakitupa pale pale, chuma kikaelea.


Basi, mfalme wa Shamu alikuwa akifanya vita na Israeli. Akafanya mashauri na watumishi wake, akasema, Kituo changu kitakuwapo mahali fulani.


BWANA akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; (akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)


Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.


Akampa mkono, akamwinua; hata kisha akawaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, akiwa hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo