2 Wafalme 6:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Ndipo akasema, Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, kikimbakia kichwa Elisha mwana wa Shafati juu yake leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Naye akasema, “Mungu aniue, Elisha mwana wa Shafati asipokatwa kichwa leo!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Naye akasema, “Mungu aniue, Elisha mwana wa Shafati asipokatwa kichwa leo!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Naye akasema, “Mungu aniue, Elisha mwana wa Shafati asipokatwa kichwa leo!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Akasema, “Mungu na aniadhibu vikali zaidi ikiwa kichwa cha Al-Yasa mwana wa Shafati kitabaki juu ya mabega yake leo!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Akasema, “Mungu na anitendee hivyo na kuzidi, ikiwa kichwa cha Al-Yasa mwana wa Shafati kitabaki juu ya mabega yake leo!” Tazama sura |