2 Wafalme 5:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Lakini yeye akaingia, akasimama mbele ya bwana wake. Elisha akamwambia, Watoka wapi, Gehazi? Akanena, Mtumwa wako hakuenda mahali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Halafu Gehazi akaingia nyumbani kwa Elisha na kuanza kumhudumia. Elisha akamwuliza, “Ulikwenda wapi?” Gehazi akajibu, “Sikuenda mahali popote.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Halafu Gehazi akaingia nyumbani kwa Elisha na kuanza kumhudumia. Elisha akamwuliza, “Ulikwenda wapi?” Gehazi akajibu, “Sikuenda mahali popote.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Halafu Gehazi akaingia nyumbani kwa Elisha na kuanza kumhudumia. Elisha akamwuliza, “Ulikwenda wapi?” Gehazi akajibu, “Sikuenda mahali popote.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Al-Yasa bwana wake. Al-Yasa akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakuenda popote.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Al-Yasa bwana wake. Al-Yasa akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakwenda popote.” Tazama sura |