2 Wafalme 4:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Ndipo akaingia, akamwangukia miguu akainama mpaka nchi; kisha akamchukua mwanawe, akatoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Akaingia ndani, akaanguka miguuni pa Al-Yasa na kusujudu hadi chini. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka nje. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Akaingia ndani, akaanguka miguuni pa Al-Yasa na kusujudu hadi nchi. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka nje. Tazama sura |