Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hata yule mtoto alipokua, ikawa siku moja alitoka kwenda kwa baba yake kwenye wavunao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, aliyekuwa pamoja na wavunaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, ambaye alikuwa pamoja na wavunaji.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 4:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati uo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.


Akamwambia baba yake, Kichwa changu! Kichwa changu! Naye akamwambia mtumishi wake, Mchukue kwa mama yake.


Basi Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke, ambaye alimfufulia mwanawe, akasema, Ondoka, ukaende wewe na jamaa yako, ukae hali ya kigeni utakakoweza kukaa; kwa sababu BWANA ameiita njaa; nayo itakuja juu ya nchi hii muda wa miaka saba.


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo