2 Wafalme 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Hata yule mtoto alipokua, ikawa siku moja alitoka kwenda kwa baba yake kwenye wavunao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, aliyekuwa pamoja na wavunaji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, ambaye alikuwa pamoja na wavunaji. Tazama sura |