Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 24:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama vile alivyofanya mfalme Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama vile alivyofanya mfalme Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama vile alivyofanya mfalme Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Alifanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, kama alivyofanya Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Alifanya maovu machoni pa bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 24:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kama Manase babaye alivyofanya.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.


akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake; wala hakujinyenyekeza mbele ya Yeremia nabii aliponena kwa kinywa cha BWANA.


Na habari za tini zile mbovu, zisizoweza kuliwa, kwa kuwa ni mbovu sana; hakika, asema, BWANA, ndivyo nitakavyomtoa Sedekia, mfalme wa Yuda, na wakuu wake, na mabaki ya Yerusalemu, waliosalia katika nchi hii, na hao wanaokaa katika nchi ya Misri.


Naye alitenda yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyatenda Yehoyakimu.


Na wewe, Ewe mtu mwovu, uliyetiwa jeraha kiasi cha kukuua, mkuu wa Israeli, ambaye siku yako imekuja, katika wakati wa uovu wa mwisho;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo