2 Wafalme 23:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Lakini hao makuhani wa mahali pa juu hawakupanda madhabahuni kwa BWANA katika Yerusalemu, bali wakala mikate isiyo na chachu katikati ya ndugu zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Makuhani hao hawakufikia madhabahu ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu, lakini walikula mikate isiyotiwa chachu waliyopewa na jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Makuhani hao hawakufikia madhabahu ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu, lakini walikula mikate isiyotiwa chachu waliyopewa na jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Makuhani hao hawakufikia madhabahu ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu, lakini walikula mikate isiyotiwa chachu waliyopewa na jamaa zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ingawa makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia hawakuhudumu katika madhabahu ya Mwenyezi Mungu katika Yerusalemu, walikula mikate isiyotiwa chachu pamoja na ndugu zao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ingawa makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu hawakuhudumu katika madhabahu ya bwana katika Yerusalemu, walikula mikate isiyotiwa chachu miongoni mwa ndugu zao. Tazama sura |