2 Wafalme 23:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Akaziangusha nyumba za mahanithi, waliokuwamo nyumbani mwa BWANA, wanawake walipofuma mapazia ya Ashera. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Alibomoa nyumba za mahanithi zilizokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, mahali ambamo wanawake walifuma mapazia ya Ashera. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Alibomoa nyumba za mahanithi zilizokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, mahali ambamo wanawake walifuma mapazia ya Ashera. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Alibomoa nyumba za mahanithi zilizokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, mahali ambamo wanawake walifuma mapazia ya Ashera. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Akabomoa pia nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mwenyezi Mungu, nyumba ambazo wanawake walifumia pazia kwa ajili ya Ashera. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Akabomoa pia nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada za miungu, zilizokuwa ndani ya Hekalu la bwana na mahali wanawake walipofuma kwa ajili ya Ashera. Tazama sura |