Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 23:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Naye akafanya maovu machoni mwa Mwenyezi Mungu, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Naye akafanya maovu machoni mwa bwana, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 23:37
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kama Manase babaye alivyofanya.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Yehoyakimu.


Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na mmoja; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake.


Nami nitamwadhibu yeye, na wazao wake, na watumishi wake, kwa sababu ya uovu wao, nami nitaleta juu yao, na juu ya wenyeji wa Yerusalemu, na juu ya watu wa Yuda, mabaya yote niliyoyatamka juu yao, lakini hawakukubali kusikiliza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo