2 Wafalme 23:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Bali katika mwaka wa kumi na nane wa mfalme Yosia ilifanyika Pasaka hii kwa BWANA ndani ya Yerusalemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Lakini, katika mwaka wa kumi na nane wa enzi ya Yosia, Pasaka ilisherehekewa kwa heshima ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Lakini, katika mwaka wa kumi na nane wa enzi ya Yosia, Pasaka ilisherehekewa kwa heshima ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Lakini, katika mwaka wa kumi na nane wa enzi ya Yosia, Pasaka ilisherehekewa kwa heshima ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia, Pasaka hii iliadhimishwa kwa Mwenyezi Mungu huko Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia, Pasaka hii iliadhimishwa kwa bwana huko Yerusalemu. Tazama sura |