2 Wafalme 23:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Akazivunjavunja nguzo, akayakatakata maashera, akapajaza mahali pake mifupa ya watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Alivunja nguzo katika vipandevipande; pia alikatakata sanamu za Ashera, na mahali zilipokuwa zinasimama alipajaza mifupa ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Alivunja nguzo katika vipandevipande; pia alikatakata sanamu za Ashera, na mahali zilipokuwa zinasimama alipajaza mifupa ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Alivunja nguzo katika vipandevipande; pia alikatakata sanamu za Ashera, na mahali zilipokuwa zinasimama alipajaza mifupa ya watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Yosia akapasua yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Ashera. Kisha akafunika hayo maeneo kwa mifupa ya wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Yosia akapasua yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Ashera. Kisha akafunika hayo maeneo kwa mifupa ya wanadamu. Tazama sura |