Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 21:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Nao watumishi wa Amoni wakamfitinia, wakamwua mfalme ndani ya nyumba yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Baadaye watumishi wa Amoni walikula njama na kumwua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Baadaye watumishi wa Amoni walikula njama na kumwua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Baadaye watumishi wa Amoni walikula njama na kumwua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Watumishi wa Amoni wakampangia njama, nao wakamuua ndani ya jumba lake la kifalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 21:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Baasha wa Ahiya, wa ukoo wa Isakari, akamfanyia fitina; Baasha akampiga huko Gibethoni ulio wa Wafilisti; kwani Nadabu na Israeli wote walikuwa wakiuhusuru Gibethoni.


Na mtumwa wake Zimri, jemadari wa nusu ya magari yake, akamlia njama; alipokuwako Tirza akinywa hata kulewa nyumbani mwa Arsa, aliyekuwa juu ya nyumba huko Tirza;


Nao watumishi wake wakaondoka, wakala njama, wakamwua Yoashi katika nyumba ya Milo, hapo panaposhukia Sila.


Wakafanya fitina juu yake katika Yerusalemu, naye akakimbia mpaka Lakishi, lakini wakatuma watu kumfuata mpaka Lakishi, wakamwua huko.


Na Peka mwana wa Remalia, jemadari wake, akamfanyia uhaini, akampiga huko Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme, pamoja na Argobu na Arie; na pamoja naye walikuwako watu hamsini wa Wagileadi. Akamwua, akatawala mahali pake.


Na Hoshea mwana wa Ela akamfitinia Peka mwana wa Remalia, akampiga, akamwua, akatawala mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.


Na Ahazia mfalme wa Yuda alipoona hayo, akakimbia kwa njia ya nyumba ya bustanini. Yehu akamfuatia, akasema, Mpigeni huyu naye katika gari lake; wakampiga hapo penye kupandia Guri, karibu na Ibleamu. Akakimbilia Megido, akafa huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo