Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 21:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kama Manase babaye alivyofanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile Manase baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile Manase baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile Manase baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akatenda maovu machoni mwa Mwenyezi Mungu, kama baba yake Manase alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akatenda maovu machoni mwa bwana, kama baba yake Manase alivyofanya.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 21:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu Manase mfalme wa Yuda amefanya machukizo haya, na kutenda vibaya kuliko yote waliyoyatenda Waamori, waliokuwa kabla yake, naye akawakosesha Yuda kwa sanamu zake;


Akaiendea njia yote aliyoiendea baba yake, akazitumikia sanamu alizozitumikia baba yake, akaziabudu.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Yehoyakimu.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, mfano wa yote aliyoyafanya baba yake.


Na tazama, ninyi kizazi cha watu wenye dhambi, mmeinuka badala ya baba zenu ili kuongeza tena hizo hasira kali za BWANA juu ya Israeli.


Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.


Enyi wenye shingo gumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, siku zote mnampinga Roho Mtakatifu; kama baba zenu walivyofanya, na ninyi ni vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo