2 Wafalme 21:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 kwa sababu wametenda yaliyo mabaya machoni pangu, na kunikasirisha, tangu siku ile walipotoka baba zao katika Misri, hata leo hivi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Nitawatendea hayo yote kwa sababu wameniasi na kunikasirisha tangu wazee wao walipotoka Misri mpaka leo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Nitawatendea hayo yote kwa sababu wameniasi na kunikasirisha tangu wazee wao walipotoka Misri mpaka leo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Nitawatendea hayo yote kwa sababu wameniasi na kunikasirisha tangu wazee wao walipotoka Misri mpaka leo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 kwa sababu wametenda uovu machoni pangu na kunighadhibisha tangu siku baba zao walipotoka Misri hadi leo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 kwa sababu wametenda uovu machoni pangu na kunighadhibisha tangu siku baba zao walipotoka Misri mpaka siku ya leo.” Tazama sura |