Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 20:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Hezekia akalala na baba zake; na Manase mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Hezekia alifariki, naye Manase mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Hezekia alifariki, naye Manase mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Hezekia alifariki, naye Manase mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Hezekia akalala na baba zake. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Hezekia akafa, akazikwa pamoja na baba zake. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 20:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Sulemani akalala na baba zake, akazikwa katika mji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu mwanawe akatawala mahali pake.


Rehoboamu akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na jina la mamaye aliitwa Naama, Mwamoni. Na mwanawe, Abiya, alitawala mahali pake.


Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi.


Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na mitano katika Yerusalemu, na jina la mamaye aliitwa Hefziba.


Manase akalala na babaze, akazikwa katika bustani ya nyumba yake mwenyewe, yaani, bustani ya Uza. Na Amoni mwanawe akatawala mahali pake.


na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase;


Basi Uzia akalala na babaze; wakamzika karibu na babaze katika eneo la kuzikia la wafalme; kwa kuwa walisema, Huyu ni mwenye ukoma. Na Yothamu mwanawe akatawala mahali pake.


Hezekia akalala na babaze, wakamzika mahali pa kupandia makaburi ya wana wa Daudi; nao Yuda wote na wenyeji wa Yerusalemu wakamfanyia heshima alipokufa. Na Manase mwanawe akatawala mahali pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo