Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 2:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Akatoka huko akaenda mlima wa Karmeli, na toka huko akarudi mpaka Samaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Elisha akaendelea na safari yake mpaka mlima Karmeli na kutoka huko akarudi Samaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Elisha akaendelea na safari yake mpaka mlima Karmeli na kutoka huko akarudi Samaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Elisha akaendelea na safari yake mpaka mlima Karmeli na kutoka huko akarudi Samaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Naye akaondoka huko, akaenda Mlima Karmeli, na kutoka huko akarudi Samaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Naye akaondoka huko, akaenda Mlima Karmeli, na kutoka huko akarudi Samaria.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 2:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Ahabu akainuka ili ale na kunywa. Naye Eliya akapanda juu mpaka kilele cha Karmeli; akasujudu kifudifudi, akainama uso mpaka magotini.


Ndipo mfalme akatuma kamanda wa askari hamsini pamoja na hamsini wake, wamwendee Eliya. Akamwendea, na tazama, ameketi juu ya kilima. Akamwambia, Ewe mtu wa Mungu, mfalme asema, Shuka.


Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hakuna nabii yeyote hapa wa BWANA ili tumwulize yeye shauri la BWANA? Akajibu mtumishi mmoja wa mfalme wa Israeli, akasema, Yupo hapa Elisha mwana wa Shafati, aliyekuwa akimimina maji juu ya mikono yake Eliya.


Basi akaenda, akafika kwa yule mtu wa Mungu, katika mlima wa Karmeli. Ikawa, yule mtu wa Mungu alipomwona kwa mbali, akamwambia Gehazi mtumishi wake, Tazama, Mshunami yule kule.


Alameleki, Amadi na Mishali; nao ukafika hadi Karmeli upande wa magharibi, tena ulifikia hadi Shihor-libnathi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo