Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 19:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Basi yule kamanda akarudi, akamkuta mfalme wa Ashuru, anapigana na Libna; maana alikuwa amesikia ya kwamba ameondoka, akaacha Lakishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha yule jemadari mkuu aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru alikuwa ameondoka Lakishi, aliondoka na kumkuta akiushambulia mji wa Libna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha yule jemadari mkuu aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru alikuwa ameondoka Lakishi, aliondoka na kumkuta akiushambulia mji wa Libna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha yule jemadari mkuu aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru alikuwa ameondoka Lakishi, aliondoka na kumkuta akiushambulia mji wa Libna.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 19:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hezekia, mfalme wa Yuda, akapeleka wajumbe waende Lakishi kwa mfalme wa Ashuru, kusema, Nimekosa; uniache ukarudi kwako; chochote utakachoweka juu yangu, nitakichukua. Mfalme wa Ashuru akamtoza Hezekia, mfalme wa Yuda, talanta za fedha mia tatu, na talanta za dhahabu thelathini.


Na aliposikia habari ya Tirhaka mfalme wa Kushi, ya kwamba, Tazama, ametoka ili kupigana nawe; alituma wajumbe kwa Hezekia mara ya pili, kusema,


Hivyo Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda hata leo. Na Libna wakaasi zamani zizo hizo.


Mfungie gari la vita farasi Aliye mwepesi, wakazi wa Lakishi; Alikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni; Maana makosa ya Israeli yameonekana kwako.


Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Makeda, mpaka Libna, na Israeli wote pamoja naye, nao wakapiga Libna;


mfalme wa Yarmuthi, mmoja; na mfalme wa Lakishi, mmoja;


mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;


Lakishi, Bozkathi, Egloni;


Libna, Etheri, Ashani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo