Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 19:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akaondoka, akaenda zake, akarudi akakaa Ninawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Kisha Senakeribu mfalme wa Ashuru aliondoka akaenda zake na kukaa Ninewi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Kisha Senakeribu mfalme wa Ashuru aliondoka akaenda zake na kukaa Ninewi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Kisha Senakeribu mfalme wa Ashuru aliondoka akaenda zake na kukaa Ninewi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 19:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu; kwa sababu hiyo nitatia kulabu yangu puani mwako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.


Njia ile ile aliyojia, kwa njia iyo hiyo atarudi zake, wala hataingia ndani ya mji huu, asema BWANA.


Tazama, nitatia roho ya hofu ndani yake, naye atasikia uvumi, na kuirudia nchi yake mwenyewe; nami nitamwangusha kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.


Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa, ukapige kelele juu yake; kwa maana uovu wao umepanda juu mbele zangu.


Ufunuo juu ya Ninawi. Kitabu cha maono aliyoyaona Nahumu, Mwelkoshi.


Lakini Ninawi tokea zamani amekuwa kama ziwa la maji; ila hata sasa wanakimbia; Simameni! Simameni! Lakini hapana hata mmoja atazamaye nyuma.


Watu wa Ninawi watasimama siku ya hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki, nao Waninawi watawahukumu kuwa wamekosa; kwa sababu wao walitubu kwa mahubiri ya Yona; na hapa yupo aliye mkuu kuliko Yona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo