2 Wafalme 19:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Maana mabaki yatatoka katika Yerusalemu, na wao watakaookoka katika mlima wa Sayuni wivu wa BWANA utatimiza jambo hilo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Maana kutakuwako watu watakaosalia huko Yerusalemu; naam, huko mlimani Siyoni kutakuwako watu wachache watakaosalimika; maana Mwenyezi-Mungu amedhamiria kukamilisha hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Maana kutakuwako watu watakaosalia huko Yerusalemu; naam, huko mlimani Siyoni kutakuwako watu wachache watakaosalimika; maana Mwenyezi-Mungu amedhamiria kukamilisha hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Maana kutakuwako watu watakaosalia huko Yerusalemu; naam, huko mlimani Siyoni kutakuwako watu wachache watakaosalimika; maana Mwenyezi-Mungu amedhamiria kukamilisha hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki, na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika. Wivu wa Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni utatimiza jambo hili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki, na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika. Wivu wa bwana Mwenye Nguvu Zote ndio utatimiza jambo hili. Tazama sura |