2 Wafalme 19:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Na mabaki yaliyookoka ya nyumba ya Yuda yatatia mizizi chini, na kuzaa matunda juu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Wale watakaobaki katika ukoo wa Yuda wataongezeka na kuwa wengi kama vile mti unavyotoa mizizi yake udongoni na kuzaa matunda juu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Wale watakaobaki katika ukoo wa Yuda wataongezeka na kuwa wengi kama vile mti unavyotoa mizizi yake udongoni na kuzaa matunda juu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Wale watakaobaki katika ukoo wa Yuda wataongezeka na kuwa wengi kama vile mti unavyotoa mizizi yake udongoni na kuzaa matunda juu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu. Tazama sura |