Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 19:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Nimechimba na kunywa maji mageni, na kwa nyayo za miguu yangu nitaikausha mito yote ya Misri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Nimechimba visima na kunywa maji mageni nilikausha mito yote ya Misri kwa nyayo za miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Nimechimba visima na kunywa maji mageni nilikausha mito yote ya Misri kwa nyayo za miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Nimechimba visima na kunywa maji mageni nilikausha mito yote ya Misri kwa nyayo za miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Nimechimba visima katika nchi za kigeni na kunywa maji yake. Kwa nyayo za miguu yangu nimekausha vijito vyote vya Misri.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Nimechimba visima katika nchi za kigeni na kunywa maji yake. Kwa nyayo za miguu yangu nimekausha vijito vyote vya Misri.”

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 19:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na vile visima vyote walivyochimba watumwa wa baba yake, siku za Abrahamu babaye, Wafilisti walikuwa wamevifukia, wakavijaza udongo.


Tena, ikiwa amejitia katika mji wowote ule, basi Israeli wote wataleta kamba, na kuuendea mji ule, nasi tutaukokota mpaka mtoni, wala halitaonekana huko hata jiwe dogo moja la mawe yake.


Ndipo Ben-hadadi akatuma kwake, akasema, Miungu wanifanyie hivi na kuzidi, yakiwa mavumbi ya Samaria yatatosha makonzi ya watu wote walio miguuni pangu.


Adui akasema, Nitafuata, nitapata, nitagawanya nyara, Nafsi yangu itashibishwa na wao; Nitaufuta upanga wangu, mkono wangu utawaangamiza.


Na vijito vya mto vitatoa uvundo, na mifereji ya Misri itakuwa haina maji mengi, itakauka; manyasi na mianzi itanyauka.


Mfalme akanena, akasema, Mji huu sio Babeli mkubwa nilioujenga mimi, uwe makao yangu ya kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu, ili uwe utukufu wa enzi yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo