2 Wafalme 18:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Akawapiga Wafilisti mpaka Gaza na mipaka yake, tangu mnara wa walinzi hata mji wenye boma. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Aliwapiga Wafilisti mpaka mji wa Gaza na nchi iliyouzunguka, kuanzia mnara wa walinzi mpaka mji wenye ngome. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Aliwapiga Wafilisti mpaka mji wa Gaza na nchi iliyouzunguka, kuanzia mnara wa walinzi mpaka mji wenye ngome. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Aliwapiga Wafilisti mpaka mji wa Gaza na nchi iliyouzunguka, kuanzia mnara wa walinzi mpaka mji wenye ngome. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kuanzia mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye ngome, aliwashinda Wafilisti, hadi kufikia Gaza na himaya yake yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kuanzia mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye ngome, aliwashinda Wafilisti, hadi kufikia Gaza na himaya yake yote. Tazama sura |