Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 18:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Je! Yuko mungu mmoja wa mataifa aliyewaokoa watu wake wakati wowote na mkono wa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Je, kuna yeyote kati ya miungu ya mataifa aliyeokoa nchi yake kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Je, kuna yeyote kati ya miungu ya mataifa aliyeokoa nchi yake kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Je, kuna yeyote kati ya miungu ya mataifa aliyeokoa nchi yake kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 18:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ninyi hamjui mimi na baba zangu tuliyowafanyia watu wote wa nchi? Je! Miungu ya mataifa wa nchi iliweza kuokoa kwa lolote nchi zao na mkono wangu?


Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu, kana kwamba kuitaja miungu ya mataifa wa nchi, iliyo kazi ya mikono ya watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo