2 Wafalme 18:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Wala Hezekia asiwatumainishe katika BWANA, akisema, Hakika BWANA atatuokoa, wala mji huu hautatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Msikubali awashawishi ili mumtegemee Mwenyezi-Mungu akisema, ‘Mwenyezi-Mungu atatuokoa na mji huu hautatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Msikubali awashawishi ili mumtegemee Mwenyezi-Mungu akisema, ‘Mwenyezi-Mungu atatuokoa na mji huu hautatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Msikubali awashawishi ili mumtegemee Mwenyezi-Mungu akisema, ‘Mwenyezi-Mungu atatuokoa na mji huu hautatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini Mwenyezi Mungu kwa kuwaambia, ‘Hakika Mwenyezi Mungu atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini bwana kwa kuwaambia, ‘Hakika bwana atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’ Tazama sura |