2 Wafalme 18:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Mfalme asema hivi, Hezekia asiwadanganye; kwa maana, hataweza kuwaokoa katika mkono wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Hivi ndivyo anavyosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa mikononi mwa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Hivi ndivyo anavyosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa mikononi mwa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Hivi ndivyo anavyosema mfalme: msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa mikononi mwa mfalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa mkononi mwangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa mkononi mwangu. Tazama sura |