Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Wewe wasema, lakini ni maneno yasiyo na maana, kwamba, Lipo shauri na zipo nguvu kwa vita hivi. Basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 18:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akawa pamoja naye, kila alikokwenda alifanikiwa; tena alimwasi mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.


Wapeni watu hao kazi nzito zaidi, waitaabikie; wala wasiangalie maneno ya uongo.


Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Nasema, mashauri yako, na nguvu zako kwa vita, ni maneno yasiyo na maana; basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo