Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 18:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Abiya, binti Zekaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Alitawala miaka ishirini na tisa huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Abi, binti wa Zekaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Alitawala miaka ishirini na tisa huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Abi, binti wa Zekaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Alitawala miaka ishirini na tisa huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Abi, binti wa Zekaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 18:2
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nenda ukamwambie Hezekia, BWANA, Mungu wa Daudi, baba yako, asema hivi, Mimi nimeyasikia maombi yako, nimeyaona machozi yako; tazama, nitaziongeza siku zako, kiasi cha miaka kumi na mitano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo