Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 17:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Walakini hawakusikia, bali wakafanya sawasawa na kawaida zao za kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Lakini watu hao hawakusikiliza, bali waliendelea kutenda kama walivyofanya hapo awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Lakini watu hao hawakusikiliza, bali waliendelea kutenda kama walivyofanya hapo awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Lakini watu hao hawakusikiliza, bali waliendelea kutenda kama walivyofanya hapo awali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Hata hivyo hawakusikiliza, lakini waliendelea na desturi zao za awali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Hata hivyo hawakusikiliza, lakini waliendelea na desturi zao za awali.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 17:40
7 Marejeleo ya Msalaba  

wakatumikia sanamu, ambazo BWANA aliwakataza, akasema, Msitende jambo hili.


Hata siku hii ya leo hufanya sawasawa na kawaida za kwanza; wala hawamwogopi BWANA, wala hawazifuati sheria zao, wala hukumu zao, wala ile torati, wala ile amri BWANA aliyowaamuru wana wa Yakobo, ambaye alimpa jina la Israeli;


lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Basi mataifa hawa wakamcha BWANA, tena wakaziabudu sanamu zao za kuchongwa; na wana wao vile vile, na wana wa wana wao; kama walivyofanya baba zao, wao nao hufanya vivyo hivyo hata leo.


Wakaziendea sheria za mataifa, ambao BWANA aliwafukuza mbele ya wana wa Israeli, na sheria za wafalme wa Israeli walizozifanya.


Je! Mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoadoa yake? Kama aweza, ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema, ninyi mliozoea kutenda mabaya.


Na huko mtatumikia miungu, waliotengenezwa kwa mikono ya watu, miti na mawe, miungu ambao hawaoni, hawasikii, hawali, wala hawanusi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo