Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 17:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 mtaniabudu mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, nami nitawaokoa kutoka mikononi mwa adui zenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 mtaniabudu mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, nami nitawaokoa kutoka mikononi mwa adui zenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 mtaniabudu mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, nami nitawaokoa kutoka mikononi mwa adui zenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Bali, mtamwabudu Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwani yeye ndiye atakayewakomboa kutoka mikononi mwa adui zenu wote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Bali, mtamwabudu bwana Mwenyezi Mungu wenu, kwani yeye ndiye atakayewakomboa kutoka mikononi mwa adui zenu wote.”

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 17:39
12 Marejeleo ya Msalaba  

ila yeye BWANA, aliyewaleta kutoka nchi ya Misri kwa nguvu nyingi, na kwa mkono ulionyoshwa, yeye ndiye mtakayemcha, yeye ndiye mtakayemsujudia, yeye ndiye mtakayemtolea sadaka;


Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;


Walakini hawakusikia, bali wakafanya sawasawa na kawaida zao za kwanza.


Kwa sababu hiyo ukawatia katika mikono ya adui zao, waliowasumbua; na wakati wa shida yao, walipokulilia, uliwasikia kutoka mbinguni; na kwa wingi wa rehema zako ukawapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa adui zao.


Ni nani asiyekucha wewe, Ee mfalme wa mataifa? Maana hii ni sifa yako wewe; kwa kuwa miongoni mwa wenye hekima wote wa mataifa, na katika hali yao ya enzi yote pia, hapana hata mmoja kama wewe.


Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika Jehanamu.


Na rehema zake hudumu vizazi hata vizazi Kwa hao wanaomcha.


Tuokolewe na adui zetu Na mikononi mwao wote wanaotuchukia;


Mcheni BWANA tu, mkamtumikie kwa kweli kwa mioyo yenu yote; maana, kumbukeni jinsi alivyowatendea mambo makuu.


Basi Samweli akawaambia nyumba yote ya Israeli, akasema, Ikiwa mnamrudia BWANA kwa mioyo yenu yote, basi, iondoleeni mbali miungu migeni, nayo Maashtorethi yatoke kwenu, mkamwelekezee BWANA mioyo yenu, mkamtumikie yeye peke yake; naye atawaokoa katika mikono ya Wafilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo