Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 17:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 17:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Jihadharini nafsi zenu, msije mkalisahau agano la BWANA, Mungu wenu, alilolifanya nanyi, mkajifanyia sanamu ya kuchonga, mfano wa umbo la kitu chochote ulichokatazwa na BWANA, Mungu wenu,


ndipo ujitunze, usije ukamsahau BWANA aliyekutoa nchi ya Misri, nyumba ya utumwa.


kisha niliwaambia, Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu; msiiche miungu ya Waamori, ambayo mnakaa katika nchi yao; lakini hamkuitii sauti yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo