2 Wafalme 16:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Ahazi akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze katika mji wa Daudi; na Hezekia mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Ahazi akafa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika mji wa Daudi, naye Hezekia mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Ahazi akafa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika mji wa Daudi, naye Hezekia mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Ahazi akafa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika mji wa Daudi, naye Hezekia mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Ahazi akalala na baba zake, naye akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Ahazi akalala na baba zake, naye akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |