2 Wafalme 15:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Uzia akalala na babaze; wakamzika pamoja na babaze mjini mwa Daudi; na Yothamu mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Azaria alifariki na kuzikwa katika makaburi ya wafalme katika mji wa Daudi; na mwanawe Yothamu alitawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Azaria alifariki na kuzikwa katika makaburi ya wafalme katika mji wa Daudi; na mwanawe Yothamu alitawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Azaria alifariki na kuzikwa katika makaburi ya wafalme katika mji wa Daudi; na mwanawe Yothamu alitawala mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Azaria akalala na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika Mji wa Daudi. Naye Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Azaria akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika Mji wa Daudi, na Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |