2 Wafalme 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Wakamleta juu ya farasi; naye akazikwa huko Yerusalemu pamoja na babaze katika mji wa Daudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Maiti yake ililetwa juu ya farasi na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika Yerusalemu katika mji wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Maiti yake ililetwa juu ya farasi na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika Yerusalemu katika mji wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Maiti yake ililetwa juu ya farasi na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika Yerusalemu katika mji wa Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Akarudishwa kwa farasi, akazikwa huko Yerusalemu pamoja na baba zake katika Mji wa Daudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Akarudishwa kwa farasi na akazikwa huko Yerusalemu pamoja na baba zake katika Mji wa Daudi. Tazama sura |