2 Wafalme 14:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Yehoashi akalala na baba zake, akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli; na Yeroboamu mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yehoashi alifariki, akazikwa katika makaburi ya kifalme huko Samaria. Mwanae, Yeroboamu akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yehoashi alifariki, akazikwa katika makaburi ya kifalme huko Samaria. Mwanae, Yeroboamu akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yehoashi alifariki, akazikwa katika makaburi ya kifalme huko Samaria. Mwanae, Yeroboamu akatawala mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Yehoashi akalala na baba zake, akazikwa Samaria na wafalme wa Israeli. Naye Yeroboamu mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Yehoashi akalala pamoja na baba zake, akazikwa Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, naye Yeroboamu mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |