2 Wafalme 13:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Elisha akafa, nao wakamzika. Basi vikosi vya Wamoabi wakaingia katika nchi mwanzo wa mwaka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Elisha alifariki, akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia nchi ya watu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Elisha alifariki, akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia nchi ya watu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Elisha alifariki, akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia nchi ya watu wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Al-Yasa akafa, nao wakamzika. Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Al-Yasa akafa, nao wakamzika. Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli. Tazama sura |