2 Wafalme 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Nao watumishi wake wakaondoka, wakala njama, wakamwua Yoashi katika nyumba ya Milo, hapo panaposhukia Sila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Maofisa wake walikula njama dhidi yake, wakamuulia katika nyumba ya Milo kwenye barabara inayoelekea Sila. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Maofisa wake walikula njama dhidi yake, wakamuulia katika nyumba ya Milo kwenye barabara inayoelekea Sila. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Maofisa wake walikula njama dhidi yake, wakamuulia katika nyumba ya Milo kwenye barabara inayoelekea Sila. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Maafisa wake wakapanga njama dhidi yake, nao wakamuua Yoashi huko Beth-Milo, kwenye barabara inayoteremka kuelekea Sila. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Maafisa wake wakafanya shauri baya dhidi yake, nao wakamuulia Yoashi huko Beth-Milo, kwenye barabara iteremkayo kuelekea Sila. Tazama sura |