2 Wafalme 11:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kisha, Yehoyada akafanya mapatano kati ya BWANA na mfalme na watu, ili wawe watu wa BWANA; tena kati ya mfalme na watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Mwenyezi-Mungu na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu; kadhalika alifanya agano kati ya mfalme na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Mwenyezi-Mungu na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu; kadhalika alifanya agano kati ya mfalme na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Mwenyezi-Mungu na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu; kadhalika alifanya agano kati ya mfalme na watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Mwenyezi Mungu na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi Mungu. Akafanya pia agano kati ya mfalme na watu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya bwana na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa bwana. Akafanya pia agano kati ya mfalme na watu. Tazama sura |