2 Wafalme 10:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Wakaibomoa nguzo ya Baali, na kuiangusha nyumba ya Baali, wakaifanya choo hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Wakaharibu nguzo pamoja na hekalu; wakaligeuza hekalu kuwa choo; na hivyo ndivyo ilivyo mpaka hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Wakaharibu nguzo pamoja na hekalu; wakaligeuza hekalu kuwa choo; na hivyo ndivyo ilivyo mpaka hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Wakaharibu nguzo pamoja na hekalu; wakaligeuza hekalu kuwa choo; na hivyo ndivyo ilivyo mpaka hivi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo. Tazama sura |