Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 10:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Yehu akasema, Takaseni kusanyiko la dini kwa Baali. Wakalitangaza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 10:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga mbiu ya watu kufunga, wakamweka Nabothi juu mbele ya watu.


Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.


Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa BWANA.


Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini, Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi; Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu, Na kumlilia BWANA,


Pigeni tarumbeta katika Sayuni, Takaseni saumu, kusanyeni kusanyiko kuu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo