Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 4:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huku Mileto, mgonjwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Erasto alibaki Korintho, nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.


Na Krispo, mkuu wa sinagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi waliposikia, waliamini, wakabatizwa.


Akatuma watu wawili miongoni mwa wale waliomtumikia kwenda Makedonia, nao ni Timotheo na Erasto, yeye mwenyewe akakaa katika Asia kwa muda.


Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.


Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akawaita wazee wa kanisa.


Watu hawa wakafuatana naye, Sopatro Mberea, mwana wa Piro, na Aristarko na Sekundo, watu wa Thesalonike; na Gayo mtu wa Derbe, na Timotheo; na Tikiko na Trofimo watu wa Asia.


Kwa maana walikuwa wamemwona Trofimo, Mwefeso, pamoja naye mjini, ambaye walidhania ya kuwa Paulo amemwingiza katika hekalu.


Gayo, mwenyeji wangu, na wa kanisa lote pia, awasalimu. Erasto, wakili wa mji, na Kwarto, ndugu yetu, wanawasalimu. [


Tufuate:

Matangazo


Matangazo