Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 1:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Nikiyakumbuka machozi yako, natamani sana kukuona, ili nijawe na furaha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 1:4
19 Marejeleo ya Msalaba  

Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha.


kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji la maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe.


Ndipo bikira atafurahi katika kucheza, na vijana na wazee pamoja; maana nitageuza masikitiko yao kuwa furaha, nami nitawafariji, na kuwafurahisha waache huzuni zao.


Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


nikimtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, na kwa machozi, na majaribu yaliyonipata kutokana na njama za Wayahudi;


Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.


Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara;


Maana Mungu ni shahidi wangu, jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote katika moyo wake Kristo Yesu.


Kwa kuwa alikuwa na shauku kwenu ninyi nyote, akahuzunika sana, kwa sababu mlisikia ya kwamba alikuwa mgonjwa.


Lakini sisi, ndugu, tukiwa tumefarakana nanyi kwa muda, kwa uso si kwa moyo, tulizidi kutamani kwa shauku nyingi kuwaona nyuso zenu.


Jitahidi uwezavyo kuja kabla ya majira ya baridi. Eubulo akusalimu, na Pude, na Lino, na Klaudia, na ndugu wote pia.


Jitahidi uwezavyo kuja kwangu upesi.


Na haya tunayaandika, ili furaha yetu itimizwe.


Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Kwa maana huyo Mwana-kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo