2 Samueli 7:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Nathani akamwambia mfalme, Haya, fanya yote yaliyomo moyoni mwako; maana BWANA yuko pamoja nawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Nathani akamwambia mfalme, “Nenda ufanye chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Nathani akamwambia mfalme, “Nenda ufanye chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Nathani akamwambia mfalme, “Nenda ufanye chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana Mwenyezi Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana bwana yu pamoja nawe.” Tazama sura |